ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, June 28, 2013

MRADI WA TIBU HOMA WAZINDULIWA LEO JIJINI MWANZA

Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza Stanslaus Mabula akimjulia hali mmoja kati ya watoto walio hudhuria uzinduzi wa Maadhimisho ya Tibu Homa yaliyofanyika katika eneo la Kata ya Igoma jijini Mwanza hii leo.

Udadisi wa zoezi la upimaji afya kwawananchi.

Meya akiwa ameambatana na viongozi wengine wakitoka kwenye banda la kutolea Tiba ya Homa eneo la kata ya Igoma. 

Diwani wa viti maalum kata ya Igoma kupitia Chadema Upendo Robert akizungumza na wananchi kusisitiza umuhimu wa kupima afya  mara kwa mara.

Hotuba ya Mstahiki Meya kwa wananchi ilikuwa darasa tosha kwa waliohudhuria.

Show ya muziki wa kizazi kipya ya asili ya kabila la Sukuma wew... ni Nowma..!!

Kikundi cha waigizaji kikitoa elimu kwa wananchi juu ya mradi huo wa Tibu Homa.

Diwani wa kata ya Igoma Mhe. Chagulani alisisitiza jukumu la wazazi kusimamia suala la afya kwa jamii zao.

Burudani zaidi hapa ilikuwa zamu ya Makhirikhiri wa Ziwa Victoria.

Ngoma ya moja ya makabila ya kusini toka mkoa wa Ruvuma.

Eneo la tukio, Igoma mahala kulikokuwa kukifanyika maadhimisho hayo yenye mrengo wa kuimarisha afya za wananchi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.