![]() |
| Mwenyekiti wa Bodi ya GTI,Marry Rusimbi (aliyesimama) akihutubia |
![]() |
| Baadhi ya wahadhiri wa chuo cha mafunzo ya Jinsia GTI wakiwa kwenye mahafali |
![]() |
| Baadhi ya wafanyakazi wa TGNP wakiwa katika mahafali |
![]() |
| Mgeni rasmi, John Mnyika akizungumza na kusanyiko hususani wahitimu. |
![]() |
| Mkuu wa Chuo cha Mafunzo ya Jinsia, Dk. Diana Mwiru (kulia) akihutubia katika hafla hiyo |
![]() |
| Bendi ya Jeshi la Polisi Tanzania ikiwajibika katika mahafali hayo |
![]() |
| Bendi ya Polisi ikiwajibika |
![]() |
| Maandamano ya mahafali |
| Maandamano mgeni rasmi na viongozi wa GTI na TGNP |
![]() |
| Maandamano ya mgeni rasmi na viongozi wa GTI na TGNP. |
Picha zote zimeandaliwa na mtandao wa www.thehabari.com.
Tupe maoni yako
+akihutubia.jpg)



+akihutubia+katika+hafla+hiyo.jpg)




0 comments:
Post a Comment