![]() |
| Wananchi wa Kata ya Igoma kusanyikoni. |
![]() |
| Mkutano ulipomalizika Meya wa Jiji la Mwanza(Nyamagana) Bw.Stanislaus Mabula akibebwa na wananchi wa kata ya Igoma wakimuunga mkono kwa kuwa ni kijana mwenzao sambamba na kuonyesha ukomavu wa siasa. |
![]() |
| Bw.Stanislaus Mabula alibebwa hadi eneo la biashara ndogondogo za akinamama sokoni hapo ambapo alifanya maongezi ya mtu mmoja mmoja kisha akaondoka eneo la kusanyiko |
Tupe maoni yako








0 comments:
Post a Comment