![]() |
| Mtafiti wa Bioteknolojia nchini toka kituo cha Utafiti wa kilimo Mikocheni Dar es salaam Dr Emmarold E. Mneney akitoa darasa juu ya Kwanini Biotechnolojia ni muhimu kwa Tanzania. |
![]() |
| Washiriki wengine ni Ofisi ya Forodha na zile za uthibiti wa mazao na mimea za mipaka ya Sirari, Mutukura, Kabanga na Ngara. |
![]() |
| Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya makamu wa Rais Eng. Ngosi C.X Mwihava akizungumza na vyombo vya habari juu ya Warsha hiyo.. Msikilize kwa kubofya play. |
![]() |
| Picha ya pamoja. |
Tupe maoni yako










0 comments:
Post a Comment