![]() |
| Hatua yapili kuelekea kuona kibao cha uzinduzi. |
![]() |
| Hatua hii nifaraja kwa wananchi wa kata ya Kirogo kwani ni safari kuelekea kuisaka elimu bora yenye manufaa kwa watoto waishio maeneo ya karibu katani humu. |
![]() |
| Jiwe la msingi la jengo hili limewekwa na Mhe. Lameck Airo Mbunge wa Wilaya ya Rorya tarehe 21/12/2012. |
![]() |
| Wananchi wa kata ya kirogo wakimsikiliza kwa umakini Mbunge wao kwenye kusanyikohilo. |
![]() |
| Mzee kiongozi wa kata hiyo akimkabidhi Mhe. Mbunge Lameck Airo zawadi ya kuku dume (Jogoo) kuafiki mchango wake katika maendeleo ya kata ya Kirogo. |
![]() |
| Mmoja wa akinamama wa kata ya Kirogo akijidai na vazi lake kusanyikoni. |
Tupe maoni yako










0 comments:
Post a Comment