![]() |
| Mwili wa aliyekuwa Askofu wa jimbo kuu la Shinyanga marehemu Alosius Balina ukishushwa toka kwenye gari tayari kufikishwa eneo maalum la ibada kanisani hapa |
![]() |
| Mwili wa aliyekuwa Askofu wa jimbo kuu la Shinyanga marehemu Alosius Balina ukiingizwa ndani ya kanisa kuu la Bugando kwaajili ya ibada ya heshima za mwisho kwa wakazi wa Mwanza. |
![]() |
| Padre wa Parokia ya Kanisa Katoliki Bugando Padre Alfred Lwamba ameongoza mapokezi ya ibada ndogo ya kupokea mwili wa aliyekuwa Askofu wa jimbo kuu la Shinyanga marehemu Alosius Balina. |
![]() |
| Watu mbalimbali pamoja na watumishi wa mungu kutoka ndani na nje ya jiji hili wamehudhuria ibada hii. |
![]() |
| Upande wa akina mama. |
![]() |
| Upande wa akina baba. |
![]() |
| Mwili wa aliyekuwa Askofu wa jimbo kuu la Shinyanga marehemu Alosius Balina ukiwa tayari kwaajili ya kuagwa katika Kanisa kuu la Bugando jijini Mwanza |
![]() |
| Kisha baada ya ibada fupi ulianza utaratibu wa waumini, masista na mapadre kutoa heshima zao za mwisho kwa Mwili wa aliyekuwa Askofu wa jimbo kuu la Shinyanga marehemu Alosius Balina. |
![]() |
| Heshima za mwisho zikiendelea.... |
![]() |
| Kimya kimetawala hapa, huku sauti za taratibu za uimbaji zikisikika..... |
![]() |
| Wanavyuo waliomfahamu aliyekuwa Askofu wa jimbo kuu la Shinyanga marehemu Alosius Balina nao wamejumuika kanisani hapa. |
![]() |
| Kanisa |
![]() |
| Msafara wa kutoa heshima za mwisho uko hadi nje... |
Tupe maoni yako















0 comments:
Post a Comment