![]() |
| Michuano ya sita ya bandari imemalizika leo jijini Mwanza kwa washiriki mbalimbali kutunukiwa nishani zao, makombe na zawadi za fedha. |
![]() |
| Timu ya Bandani Dar es salaam ikipita kwa maandamano mbele ya mgeni rasmi. |
![]() |
| Timu ya Bandari Tanga. |
![]() |
| Bandari Mtwara. |
![]() |
| Bandari za Maziwa. |
![]() |
| Mshindi wa mbio za kufukuza kuku Oliver Ngumuo kutoka Bandari ya Dar es salaam akiwa na zawadi yake. |
![]() |
| Timu ya Bandari za Maziwa. |
![]() |
| Timu ya Bandari ya Tanga. |
![]() |
| Mashabiki nao hawakuwa nyuma katika kusapoti timu zao. |
![]() |
| Katika mchezo wa kuvuta kamba Bandari Tanga (kulia) waliibuka kidedea kwa kuwazidi ubavu timu ya Bandari za Maziwa Makuu (kushoto). |
![]() |
| Timu ya Bandari Dar es salaam ndiyo iliyotia fora kwa kunyakuwa vikombe vingi hapa Mh. Baraka Konisaga akikabidhi kombe la ubingwa kwa timu hiyo upande wa soka. |
![]() |
| Timu ya Bandari Dar es salaam ndiyo iliyotia fora kwa kunyakuwa vikombe vingi hapa Mh. Baraka Konisaga akikabidhi kombe la ubingwa kwa timu hiyo upande wa mpira wa pete. |
![]() |
| Timu ya Bandari Dar es salaam ndiyo iliyotia fora kwa kunyakuwa vikombe vingi hapa na hapa wakisherehekea tuzo na makombe waliyonyakuwa. |
![]() |
| Timu ya pili kwa ushindi wa jumla ni Bandari Tanga. |
Tupe maoni yako

















0 comments:
Post a Comment