![]() |
| Umoja huo umemwomba Waziri Mkuu Mh. Pinda kutokata tamaa kurejea kwa mara nyingine mkoa Mwanza kufanya mkutano kama huo. |
![]() |
| Wakiingia kwenye ukumbi wa Ghand kwaajili ya kuongea na mkuu wa wilaya ya Nyamagana Bw. Baraka Kondisaga (Mtumishi wa Mungu) |
Sikiliza alichosema Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Bw. Baraka Kondisaga kwa kubofya play...
![]() |
| Kusanyiko. |
Tupe maoni yako







0 comments:
Post a Comment