Wafanyakazi wa Airtel wakiwa katika kituo kimoja wapo cha kugawa maji wakati wa matembezi ya maadhimisho ya miaka 50 ya shule ya sekondari ya Shabaani Robert jumapili na kuongozwa na Raisi Mstaafu wa awamu ya pili Mh. Ali Hassan Mwinyi, Airtel ilikuwa ni moja kati ya wadhamini wa maadhimisho hayo
Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde akigawa maji kwa washiriki zaidi ya 2000 walishiriki katika matembezi ya maadhimisho ya miaka 50 ya shule ya sekondari ya Shabaani Robert yaliyofanyika jumapili na kuongozwa na Raisi Mstaafu wa awamu ya pili Mh. Ali Hassan Mwinyi, Airtel ilikuwa ni moja kati ya wadhamini wa maadhimisho hayo
Mkurugenzi wa fedha wa Airtel Tanzania Kalpesh Mehtal akishiriki katika matembezi ya maadhimisho ya miaka 50 ya Shule ya sekondari Shaaban Robert akipokea maji kutoka kwa wafanyakazi wa Airtel katika kituo kimojawapo cha maji kilichosimamiwa na Airtel, Matembezi hayo yalifanyika siku ya jumapili ambapo Airtel ni moja kati ya wadhamini
Wafanyakazi wa Airtel wakiwa katika kituo cha kugawa maji katika matembezi ya kuadhimisha miaka 50 ya shule ya sekondari ya Shaabani Robert ambapo pamoja na kushiriki katika zoezi hilo Airtel ilikuwa ni moja kati ya wadhamini
Wafanyakazi wa Airtel wakiwa katika kituo cha kugawa maji katika matembezi ya kuadhimisha miaka 50 ya shule ya sekondari ya Shaabani Robert ambapo pamoja na kushiriki katika zoezi hilo Airtel ilikuwa ni moja kati ya wadhamini
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment