| Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde akigawa maji kwa washiriki zaidi ya 2000 walishiriki katika matembezi ya maadhimisho ya miaka 50 ya shule ya sekondari ya Shabaani Robert yaliyofanyika jumapili na kuongozwa na Raisi Mstaafu wa awamu ya pili Mh. Ali Hassan Mwinyi, Airtel ilikuwa ni moja kati ya wadhamini wa maadhimisho hayo
|
0 comments:
Post a Comment