![]() |
| Masista na tabasamu la kutimiza miaka 50 Shule ya Msingi Nyakahoja. |
![]() |
| Wageni na wazazi kwenye Jubilee hiyo. |
![]() |
| Eneo mojawapo walioketi wanafunzi wa shule ya Msingi Nyakahoja. |
![]() |
| Gwaride la wanafunzi wa Shule ya Msingi Nyakahoja wakitoa heshima wakati wa Wimbo wa Taifa la Tanzania. |
![]() |
| Meza kuu na heshima za wimbo wa Taifa letu ndani ya Jubilee hiyo ya shule ya msingi Nyakahoja kutimiza miaka 50. |
![]() |
| Gwaride la wanafunzi wa kike wa shule ya msingi Nyakahoja likipita heshima mbele ya halaiki ya watu waliohudhuria sherehe za kutimiza miaka 50 Shule ya msingi nyakahoja Mwanza. |
![]() |
| Hapa ni mwendo wa vipaji vya mmoja mmoja wanafunzi wa Prep Two. |
![]() |
| Ni wanafunzi walioshiriki kama igizo flani hivi jukwaani kutoka kushoto ni Mwanafunzi, Dereva wa magari, Askari, Sister na Daktari kwenye pozi na flash ya blogu ya G. Sengo. |
![]() |
| Kwaya ya Prep One. |
![]() |
| Maigizo kijamii zaidi.... |
![]() |
| Ngoma za asili toka kwa wanafunzi wa shule ya msingi Nyakahoja zilihusishwa kwenye Maadhimisho ya 50. |
![]() |
| Mc Mahiri mwenye sauti ya 'radi' Baba Paroko aliyesimamia zoezi hilo kikamilifu Mwanzo mwisho. |
![]() |
| Ngoma iliyotia fora ndani ya maadhimisho hayo ya 50. |
![]() |
| Watoto wetu wakipata flash na blog yako. |
![]() |
| Nikiwa na second bon wangu Cuthbert anayesoma shuleni hapo. |
Tupe maoni yako



















0 comments:
Post a Comment