Mh. Lawrance Masha akichukuwa fomu kugombea nafasi ya U-NEC Wilaya ya Nyamagana kwa Katibu wa CCM Wilaya ya Nyamagana Deogratius Lutta tukio hilo limefanyika leo katika ofisi za CCM Nyamagana jijini Mwanza.
Mh. Lawrance Masha akisaini kwenye daftari la waliochukuwa fomu kugombea nafasi ya U-NEC kupitia Wilaya ya Nyamagana mbele ya Katibu wa CCM Wilaya ya Nyamagana Deogratius Lutta (aliyeshika kichwa) sambamba na wadau wengine walio msindikiza kukamilisha zoezi hilo.
Mchakato wa kugombea nafsi ya U-NEC wilaya ya Nyamagana ni pamoja na Bw. Emmanuel Masalu Ngofilo, Mwenyekiti wa CCM Kata ya Mahina Bw. James Bwire, Bw. Bakari Kimwaga, Afisa Uhusiano wa MWAUWASA Bw. Robert Maswanya na Othman Ally. Wengine ni Faraj S Faraj, Moric Deya, James Joseph Nyamasiriri na Lawrance Masha aliyechukuwa leo.
Mh. Lawrance Masha
Sikiliza hapa wakati akizungumza na waandishi wa habari. (Bofya Play)
Trump: 'Putin anacheza na moto'
-
Kwa mujibu wa jarida la Wall Street Journal, Trump amekerwa na mashambulizi
dhidi ya Ukraine, ambayo hivi karibuni yamekuwa yakitokea mara kwa mara.
KOICA Yajenga Maabara ya Kisasa ya 3D ATC
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Chuo cha Ufundi Arusha (ATC), kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya
Kimataifa la Korea (KOICA), kimezindua rasmi maabara...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.