Mh. Lawrance Masha akichukuwa fomu kugombea nafasi ya U-NEC Wilaya ya Nyamagana kwa Katibu wa CCM Wilaya ya Nyamagana Deogratius Lutta tukio hilo limefanyika leo katika ofisi za CCM Nyamagana jijini Mwanza.
Mh. Lawrance Masha akisaini kwenye daftari la waliochukuwa fomu kugombea nafasi ya U-NEC kupitia Wilaya ya Nyamagana mbele ya Katibu wa CCM Wilaya ya Nyamagana Deogratius Lutta (aliyeshika kichwa) sambamba na wadau wengine walio msindikiza kukamilisha zoezi hilo.
Mchakato wa kugombea nafsi ya U-NEC wilaya ya Nyamagana ni pamoja na Bw. Emmanuel Masalu Ngofilo, Mwenyekiti wa CCM Kata ya Mahina Bw. James Bwire, Bw. Bakari Kimwaga, Afisa Uhusiano wa MWAUWASA Bw. Robert Maswanya na Othman Ally. Wengine ni Faraj S Faraj, Moric Deya, James Joseph Nyamasiriri na Lawrance Masha aliyechukuwa leo.
Mh. Lawrance Masha
Sikiliza hapa wakati akizungumza na waandishi wa habari. (Bofya Play)
Meridianbet Yatoa Samsung A26 Kupitia Super Heli
-
MERIDIANBET haikuja na kelele, imekuja na mpango mkakati kwa ajili ya
wateja wake. Imeileta promosheni maalumu kupitia mchezo wa Super Heli ikiwa
ni p...
Meridianbet Yatoa Samsung A26 Kupitia Super Heli
-
MERIDIANBET haikuja na kelele, imekuja na mpango mkakati kwa ajili ya
wateja wake. Imeileta promosheni maalumu kupitia mchezo wa Super Heli ikiwa
ni p...
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
0 comments:
Post a Comment