ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, August 9, 2012

“JIANDAE KUHESABIWA 26 Agosti 2012”


Bofya hapa juu kumsikiliza Afisa Mkuu Uhamasishaji Sensa Sensa Makao makuu Bw. Said J. K. Ameir  kupitia mahojiano aliyofanya na blogu hii mara baada ya mafunzo kumalizika hivi karibuni jijini Mwanza.

Historia ya Sensa Tanzania.
Sensa ya kwanza Tanzania ilifanyika mwaka 1910. Sensa nne za Mwisho zilifanyika baada ya Uhuru, katika miaka ya 1967, 1978, 1988 na 2002. Kulingana na sensa ya mwisho iliyofanyika mwezi Agosti 2002, idadi ya watu nchini Tanzania ilikuwa 34,443,603.

Kwa habari zaidi tembelea:-
http://www.nbs.go.tz/sensa2012/

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.