![]() |
Afisa uhamasishaji Sensa Makao makuu Bw. Said J. K. Ameir |
Bofya hapa juu kumsikiliza Afisa Mkuu Uhamasishaji Sensa Tanzania kupitia mahojiano aliyofanya na blogu hii mara baada ya mafunzo kumalizika leo hii jijini Mwanza.
![]() |
Waandishi wa habari toka kanda ya ziwa, kati na magharibi wakiwa kwenye zoezi la vitendo kujifunza namna makarani wa Sensa wanavyofanya zoezi la uhesabu watu litakavyofanyika. |
![]() |
Awali zoezi la vitendo lilikuwa gumu kueleweka lakini kadiri muda ulivyokuwa ukisonga mbele washiriki walikamata vilivyo na kufahamu vipengele husika. |
![]() |
Afisa Uhamasishaji Sensa Said Ameir akisaidia kutoa ufafanuzi kwa moja ya washiriki Abdallah Gankan ambaye ni Mwandishi wa habari toka Redio ya kiislamu jijini Mwanza, Iqra Fm. |
![]() |
Mkufunzi ambaye ni mwanasheria Ndg. O. Mangula akitoa elimu kuhusu Sheria za Sensa. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.