ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, June 22, 2012

RONARDO AIWEZESHA URENO KUTINGA 1/2 FAINALI Euro 2012


Mshambulizi Cristiano Ronaldo aliwaridhisha mashabiki wa Ureno kwa kucheza vizuri sana usiku wa Alhamisi, na juhudi zake kuiwezesha nchi yake kuishinda Jamhuri ya Czech bao 1-0 katika mechi ya mwanzo ya robo fainali ya Euro 2012, na kufanikiwa kuifikisha hadi nusu fainali.

Ronaldo, ambaye alifunga magoli mawili wakati katika mechi ya awali ya mashindano hayo nchi yako ilipocheza na Uholanzi, aliweza kugonga mwamba katika nusu ya kwanza na ya pili katika mechi dhidi ya Jamhuri ya Czech.

Ureno sasa itakutana aidha na Uhispania au Ufaransa katika juhudi za kufuzu kwa fainali.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.