Mwandishi wa habari Hussein Mtanda aliyepata ajali hivi karibuni nakupoteza jicho lake la kushoto hatimaye leo karuhusiwa kutoka hospitalini ambako alikuwa akipatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa ya Bugando jijini Mwanza, na yafuatayo ni maneno yake:-
"Jamani nashukuru kwa moyo wa pamoja mlio nionyesha kuanzia nilipo ugua mpaka sasa, kwakweli Mungu awabariki, ninavyozungumza niko nyumbani kwa mapumziko. AKSANTENI SANA"
RC MALIMA, MOROGORO KUWA KITOVU CHA UTALII
-
Mkuu wa Mkoa Morogoro Adam Malima amewataka wanahabari kuwa mabalozi wa
utalii, kuandika taarifa zinazowavutia watalii kutoka nje na ndani ya nchi.
RC Mal...
EXPANSE NA MERIDIANBET WAJA NA SHINDANO LA MIL 400
-
MERIDIANBET Kasino ya Mtandaoni kuna shindano la Expanse ambalo mwanzo
maokoto yalikuwa mengi lakini, Bosi kacheka ameamua kuongeza pesa na sasa
kuna juml...
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.