


Mzee maarufu mkoani kagera na Tanzania ambaye ni mwenyekiti wa bodi ya kahawa Tanzania PIUS NGEZE amesisitiza kuwa serikali ijitahidi kuwajali wazee kwani wanapofika umri wa uzeeni afya zao zinakuwa na matatizo hivyo wasionekane bora wakiwa vijana uzeeni wakatengwa.


PICHA na Nicolaus Ngaiza
Radio Kasibante.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.