




"Mswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba haujabainisha muda wa mtiririko mzima wa zoezi hili. Inapendekezwa ukomo wa muda uwekwe kwenye mtiririko wa mchakato wa kukusanya maoni ili kuepuka kuwa na mchakato kwa muda usiojulikana na kuleta uwajibikaji. Sambamba na hilo, kuna haja ya kuelekeza nguvu kazi pamoja na rasimali za kutosha kwenye hatua zote za mchakato ili Katiba inayoridhisha wananchi ipatikane". Maelezo zaidi tembelea
http://www.kas.de/wf/doc/kas_5088-1442-1-30.pdf?111114113050


Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.