



"Tathmini mbalimbali zinaonyesha kuwa bado kuna mianya ya mtu kuambukizwa VVU katika jamii kupitia ngono zembe na mtu aliyeambukizwa na VVU.
Sababu nyingine ni pamoja na mila na Desturi za kurithi wajane, Ulevi wa kupindukia na Umaskini kwa hiyo ili kupiga vita maambukizi mapya ya VVU mambo haya hayana budi kupigwa vita kwa gharama yoyote ile" amesema Mh. Mkuu wa wilaya ya Nyamagana, Said Amanzi.


Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.