PSI imekuwa ikifanya kazi kuboresha afya ya Watanzania tangu mwaka 1993. Ni shirika linalo tumia mbinu mbalimbali kuhamasisha sekta binafsi kuwa na tabia ya kuupa mwili lishe kwaajili ya afya likitoa misaada ya chakula mashuleni, na kutoa elimu kwa wananchi hasa vijijini kufanya kazi kwa ajili ya masoko ya maskini.
PSI ni shirika linalofanya kazi katika nchi zaidi ya 60, na makao yake makuu ni mjini Washington DC.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.