


Mara baada ya mtoto huyo kukiri kuchukuwa shilingi mia tatu na kuzitumia mchana, usiku ulipo wadia mama yake alichukuwa viganja vya mtoto huyo na kuvitia kwenye makaa ya moto.
Kwa maelezo ya majirani jana majira ya saa mbili usiku walisikia sauti ya mtoto huyo akilia kwa machungu kwa muda mrefu bila msaada…… asubuhi walivamia kwenye nyumba hiyo kujua kilichajiri nakukuta hali hiyo kwa mototo huyo huku mama akiwa ametoweka ndipo walipo amua kuchukuwa jukumu la kumpeleka kituo cha haki kwaajili ya kutafuta msaada zaidi.

Mtoto Majaliwa akijieleza japo kwa shida.

Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.