Washindi wa tatu ni Polisi Ngudu ambao walipata zawadi ya shilingi 150,000/= Lengo la kuanzishwa kwa Mashindano haya ni kuibua na kukuza vipaji jimbo la Kwimba, Kukutanisha wananchi katika suala zima la Umoja na kutekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi kuhusu ukuzaji wa Michezo.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.