Majeruhi Wambura Itembe Kisera. Majeruhi wa sakata la kuvamia kituo cha polisi MUGUMU lililotokea wiki hii wako taabani ifuatayo ndiyo hali halisi na hatua zilizo chukuliwa dhidi ya majeruhi hao wenye kesi ya kujibu.
Majeruhi Wambura Itembe Kisera akiwa hospitali akisubiri kupelekwa hospitali ya rufaa ya Bugando Mwanza, baada ya kubainika kuwa risasi alipigwa risasi kwenye nyonga na kuvunja mifupa, wakati wa vurugu za uvamizi wa kituo cha polisi, hata hivyo alisomewa mashitaka akiwa hospitalini hapo.
Pichani majeruhi Mkira Maswi mkazi wa Itununu katika hali tofauti aliyelazwa kitanda no.6 hospitali teule ya Nyerere ddh wilayani Serengeti kutokana na majeraha ya kupigwa mabomu ya moto na askari polisi katika tukio la kuvamia kituo cha polisi Mugumu ili watoe watuhumiwa wawili wa mauaji wawaue.
Simba yashindwa kufurukuta fainali
-
Simba ilijipa matumaini kwa bao la mapema la Joshua Mutale dakika ya 17,
lakini kasi ya upande wa Tanzania ilidhibitiwa baada ya beki Yusuf Kagoma
kutolewa...
KOICA Yajenga Maabara ya Kisasa ya 3D ATC
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Chuo cha Ufundi Arusha (ATC), kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya
Kimataifa la Korea (KOICA), kimezindua rasmi maabara...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.