Majeruhi Wambura Itembe Kisera. Majeruhi wa sakata la kuvamia kituo cha polisi MUGUMU lililotokea wiki hii wako taabani ifuatayo ndiyo hali halisi na hatua zilizo chukuliwa dhidi ya majeruhi hao wenye kesi ya kujibu.
Majeruhi Wambura Itembe Kisera akiwa hospitali akisubiri kupelekwa hospitali ya rufaa ya Bugando Mwanza, baada ya kubainika kuwa risasi alipigwa risasi kwenye nyonga na kuvunja mifupa, wakati wa vurugu za uvamizi wa kituo cha polisi, hata hivyo alisomewa mashitaka akiwa hospitalini hapo.
Pichani majeruhi Mkira Maswi mkazi wa Itununu katika hali tofauti aliyelazwa kitanda no.6 hospitali teule ya Nyerere ddh wilayani Serengeti kutokana na majeraha ya kupigwa mabomu ya moto na askari polisi katika tukio la kuvamia kituo cha polisi Mugumu ili watoe watuhumiwa wawili wa mauaji wawaue.
ROBERT PREVOST PAPA MPYA KANISA KATOLIKI
-
Robert Kardinali Prevost ni mzaliwa wa Chicago nchini Marekani, na hadi
kuchaguliwa kwake alikuwa akihudumu kama mkuu wa Dicastery wa kanisa kwa
Maaskofu.
...
Alhamis ya Kitajiri na Meridianbet Imefika
-
NI siku nyingine kabisa ya Alhamisi ambapo leo hii tutaenda kushuhudia Nusu
Fainali za pili za Europa League na Conference huku Meridianbet wakiweka
o...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.