Mwanamichezo bora wa jumla wa Mwaka wa tuzo hizo Mwanaidi Hassan anayecheza mchezo wa netiboli katika timu ya JKT Mbweni akipokea tuzo yake kutoka kwa makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Gharib Bilal.
Mchezaji wa timu ya Yanga Shadrack Nsajigwa akipokea tuzo yake mwanamichezo bora wa mpira wa miguu toka kwa Mkurugenzi wa bodi Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Mark Bomani.
Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Benjamin William Mkapa akipokea tuzo yake ya heshima kutoka kwa makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal.
Wadau waalikwa Sekta ya Habari.
Kutoka kushoto Salehe Ali (Global Publishers) Ronard Sherukindo (Multichoice) na Kutoka kulia ni Phares Magesa makamu mwenyekiti wa TBF pamoja na mama mzazi wa Hasheem Thabeet anayecheza ligi ya NBA nchini Marekani.
Meza kuu ya viongozi walio hudhuria utoaji tuzo za Mwanamichezo bora 2011 ambazo zimedhaminiwa na kampuni ya bia ya Serengeti tukio lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika Hotel ya Movenpick jijini Dar es salaam..
Wanalibeneke mashuhuri ndani ya shughuli shughulini ukianzia kulia ni Michuzi Jr wa 'JIACHIE' naye Bukuku wa 'FULL SHANGWE'.
TALE ACHANGIA MIL. 65 UJENZI WA OFISI ZA CHAMA
-
Mbunge wa Jimbo la Morogoro kusini mashariki mhe,Hamis Tale Tale ametoa
shilingi milioni 65 za Kitanzania lengo ikiwa ni kumalizia ofisi ya wilaya
ya chama...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.