Mwanamichezo bora wa jumla wa Mwaka wa tuzo hizo Mwanaidi Hassan anayecheza mchezo wa netiboli katika timu ya JKT Mbweni akipokea tuzo yake kutoka kwa makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Gharib Bilal.
Mchezaji wa timu ya Yanga Shadrack Nsajigwa akipokea tuzo yake mwanamichezo bora wa mpira wa miguu toka kwa Mkurugenzi wa bodi Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Mark Bomani.
Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Benjamin William Mkapa akipokea tuzo yake ya heshima kutoka kwa makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal.
Wadau waalikwa Sekta ya Habari.
Kutoka kushoto Salehe Ali (Global Publishers) Ronard Sherukindo (Multichoice) na Kutoka kulia ni Phares Magesa makamu mwenyekiti wa TBF pamoja na mama mzazi wa Hasheem Thabeet anayecheza ligi ya NBA nchini Marekani.
Meza kuu ya viongozi walio hudhuria utoaji tuzo za Mwanamichezo bora 2011 ambazo zimedhaminiwa na kampuni ya bia ya Serengeti tukio lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika Hotel ya Movenpick jijini Dar es salaam..
Wanalibeneke mashuhuri ndani ya shughuli shughulini ukianzia kulia ni Michuzi Jr wa 'JIACHIE' naye Bukuku wa 'FULL SHANGWE'.
GEORGE MASAJU ATEULIWA JAJI MKUU
-
*Na Happiness Katabazi.*
*RAIS Samia Suluhu Hassan Leo amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George
Mcheche Masaju Kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania.*
*Kwa Mujibu ...
TAZAMA USIKU WA BI FELISIA KYAMANI ULIVYO FANA
-
Wanafamilia na Waalikwa wakicheza kwaifuraha na shangwe kwenye siku hii
muhimu ya SendOff ya Bi Felias Kyamani .
Watu walivaa na kupendeza Ukumbi ulipambw...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.