Jumla ya timu nne za kituo hiki chenye timu toka mkoa wa Kagera, Mara, Shinyanga na Mwanza zimekabidhiwa vifaa hivyo tayari kushiriki michuano hiyo inayotaraji kuanza kutimua vumbi kuanzia kesho katika vituo vyote nchini.
(Picha na Mohamed Mambo)
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.