Muuza vitunguu na ubunifu wake katika kukabiliana na hali ya hewa eneo la nje ya soko kuu la Mwanza.
Watu toka sehemu na sehemu hufika sokoni hapa "Nianzie wapi?" anauliza Rooney.
Kwa wasomi.
Wale wa kitoweo.
Wauza ndizi, wauza viazi mviringo nao wamo kati ya wale walio kosa maeneo ya biashara kwa kupanga bidhaa zao chini nje pembezoni mwa soko. Je! Mradi mpya wa ujenzi wa Soko Kuu la Mwanza utawanusuru na kadhia hii?
Bidhaa aina mbalimbali hukutanishwa hapa, Soko kuu la jiji la Mwanza hali ni mbaya kipindi cha mvua.
Mchoro wa ramani kwa soko jipya litakalojengwa. Mradi huu mpya wa ujenzi soko kuu la Mwanza utaanza lini?
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.