Katika kuelekea siku husika ya bonanza la Serengeti soka ndani ya jiji la Mwanza leo majira ya asubuhi viongozi wa timu zote nane walifika katika studio za clouds fm Mwanza kwania ya kutangaza usajili wa timu zao sambamba na mikakati waliyoiweka kuibuka washindi kwa michuano hiyo.
Pichani ni rais wa Arsenal Mwanza Bw. Arsenal Class akifanya mahojiano na mtangazaji mahiri wa kipindi cha Sports Extra cha Clouds fm, Alex Luambano.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.