
Kosgey amechukuwa hatua hiyo siku moja baada ya Mwanasheria Mkuu wa serikali ya Kenya, Amos Wako kutoa idhini kwa tume ya kupambana na ufisadi nchini humo, kumkamata na kumfungulia mashtaka kutokana na kashfa ya kuruhusu uagizaji wa magari yaliyopita muda wa kutumika nchini humo.

Chama cha ODM hata hivyo kimesema kitaendelea kumuunga mkono Kosgey.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.