Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia kiwanda chake kilichopo ilemela jijini Mwanza mwishoni mwa wiki ilitoa fursa kwa waandishi wa habari kutembelea kiwanda hicho kwa nia ya kujionea utayarishwaji na utengenezwaji wa vinywaji vyake.
Wanahabari wa walipata maelezo ya kina, hatua kwa hatua huku nao wakiuliza maswali mengi, mengi kama vile nao wanakwenda kuwa wajasiliamali kwa kuanzisha viwanda vyao.
Production juu kwa juu kiwandani hapo, Teknolojia ina athari zake imajin mitambo yote hii yajiendesha kwa mfumo wa kompyuta ikisimamiwa na watu watatu wanne...hivi.
Mitungi ya kupikia kileo aka 'gambe' aka 'bata'.
Teknolojia ya kisasa katika uchanganyaji na upikaji ikielekeza mwonekano toka kwenye mitungi.
Ubebaji wa kinywaji kilicho kamilika kutoka kiwandani hatimaye kuingia sokoni.
Utoaji chupa kwenye masanduku kwaajili ya hatua ya uoshaji.
Chupa husafishwa kwa kutumia maji yenye joto la hali ya juu lenye uwezo wa kuondosha taka za aina zote.
Utengenezwaji wa kinywaji kipya cha kiasili NZAGAMBA, kinacho tengenezwa kwa teknolojia ya kisasa.
Shughuli za kutembelea kiwanda zilipo kamilika 'MIMINAMIMINA TIME' ikawadia, ikiwa ni pamoja na wanahabari kushindanishwa katika zoezi la kutambua vinywaji kupitia ladha, rangi na mengineyo. Zawadi za nguvu zilitolewa kwa washindi.
Taarifa kwa Umma Kuhusu Ongezeko la Bei za Mafuta.
-
Dar es Salaam, Tanzania
Tunatambua ongezeko kubwa la hivi karibuni la bei za mafuta ambalo
limeongezeka kwa asilimia 33. Kama jukwaa linalolenga kusawaz...
Serikali Yaongeza Muda wa Tume ya Uchunguzi
-
*Na Mwandishi Wetu*
*DODOMA, Aprili 4, 2026 — Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
imetangaza kuongeza muda wa kukamilisha kazi kwa Tume ya Kuchun...
0 comments:
Post a Comment