Pichani kushoto ni mkurugenzi wa masoko wa TBL, David Minja pamoja na Katibu Mkuu wa BASATA, Gonche Materego wakizindua rasmi tuzo za kilimanjaro Tanzania music Award 2011 mbele ya wageni waalikwa mbalimbali waliofika kushuhudia hafla hiyo. Wanaoshuhudia kulia ni Mratibu wa tuzo hizo kutoka BASATA, Angelo Luhala pamoja na Meneja wa kinywaji cha Kilimanjaro, George Kavishe.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.