Pichani kushoto ni mkurugenzi wa masoko wa TBL, David Minja pamoja na Katibu Mkuu wa BASATA, Gonche Materego wakizindua rasmi tuzo za kilimanjaro Tanzania music Award 2011 mbele ya wageni waalikwa mbalimbali waliofika kushuhudia hafla hiyo. Wanaoshuhudia kulia ni Mratibu wa tuzo hizo kutoka BASATA, Angelo Luhala pamoja na Meneja wa kinywaji cha Kilimanjaro, George Kavishe.
RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI WAGHUSHI RISITI
-
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe.Peter Serukamba, ameitaka Mamlaka ya Mapato
Tanzania (TRA) mkoani humo kuhakikisha wanadhibiti waghushi risiti ambao
wanaisaba...
RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI WAGHUSHI RISITI
-
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe.Peter Serukamba, ameitaka Mamlaka ya Mapato
Tanzania (TRA) mkoani humo kuhakikisha wanadhibiti waghushi risiti ambao
wanaisaba...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.