Pichani kushoto ni mkurugenzi wa masoko wa TBL, David Minja pamoja na Katibu Mkuu wa BASATA, Gonche Materego wakizindua rasmi tuzo za kilimanjaro Tanzania music Award 2011 mbele ya wageni waalikwa mbalimbali waliofika kushuhudia hafla hiyo. Wanaoshuhudia kulia ni Mratibu wa tuzo hizo kutoka BASATA, Angelo Luhala pamoja na Meneja wa kinywaji cha Kilimanjaro, George Kavishe.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.