MAJIBU YA WENGI:
-pingamizi ya haki hata kama ni juu ya suala dogo lenye maamuzi juu ya mwili wako.
-kutokuwa na maamuzi katika familia pindi nitakapoolewa.
-nabeba mimba nailea, mtoto anazaliwa, nasimamia malezi mpaka anakuwa mwisho wa siku nikiachana na mwanaume 'mtoto mali ya mwanaume'
-mawasiliano ni muhimu katika kudumisha upendo na furaha ktk mahusiano.
-mawasiliano mazuri hujenga ushirikiano ktk familia.
-mawasiliano mazuri ni yale yenye uwazi kuthaminiana na kusikilizana.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.