Aliyekuwa Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Benki Kuu Amatus Liyumba akiwa kizimbani dakika chache baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kutumua vibaya madaraka wakati wa ujenzi wa maghorofa pacha ya benki hiyo jijini Dar. Mahakimu wawili kati ya watatu walimwona Liyumba ana hatia wakati mmoja alimwona hana hatia. Hata hivyo kwa mujibu wa sheria ya wengi wape, hukumu ya miaka 2 inasimama.
Liyumba akishauriana na mawakili wake baada ya hukumu. PICHA ZOTE NA HABARI BY. ISSA MICHUZI
PUNDA ANA HAKI KAMA WANYAMA WENGINE- SERIKALI
-
Dkt. Shaban Tozzo, mratibu wa shughuli ya Sherehe ya Maadhimisho ya siku
ya Punda Duniani yaliyofanyika Kitaifa katika kijiji cha Chambalo, Wilaya
ya C...
PUNDA ANA HAKI KAMA WANYAMA WENGINE- SERIKALI
-
Dkt. Shaban Tozzo, mratibu wa shughuli ya Sherehe ya Maadhimisho ya siku
ya Punda Duniani yaliyofanyika Kitaifa katika kijiji cha Chambalo, Wilaya
ya...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.