UZINDUZI NI KATIKA UKANDA UNAOJUMUISHA MIKOA SITA AMBAPO WITO UMETOLEWA KWA VIJANA WALIO CHINI YA UMRI WA MIAKA 17 KUJITOKEZA KWA WINGI ILI KUTUMIA NAFASI HII YA KIOPEKEE KUONYESHA VIPAJI VYAO. MENEJA MASOKO NBCL BHUBHINDER SINGH AKIZUNGUMZA JUU YA KURIDHISHWA KWAKE NA MCHANGO WA KAMPUNI YAKE KATIKA MAENDELEO YA SOKA NCHINI.
MKURUGENZI WA NBCL BW. GACHUMA AKIRUSHA MPIRA JUU KUMPASIA MKUU WA WILAYA YA ILEMELA MH. SIRENGO MURENGO KUASHIRIA UZINDUZI HUO.
MH. MKUU WA WILAYA YA ILEMELA AKIMKABIDHI MIPIRA MWENYEKITI WA CHAMA CHA SOKA MKOA WA MWANZA (MRFA) SONGORA.
" MWAKA 2010 COCA COLA IMEBORESHA MASHINDANO YA COPA COCA COLA KATIKA MAENEO YOTE TUMETOA BIBS, SHIN GUARDS NA VIFAA VYOTE MUHIMU KATIKA MICHEZO MSHINDWE NYIE TU" SAYS GACHUMA.
MKUU WA WILAYA NAYE AKITOA SOMO.
SEHEMU YA MAKOCHA WATIMU ZITAKAZO SHIRIKI COPA COCA COLA U17 AMBAO WENGI WAO WAMEKIRI KUWA IDADI YA TIMU ZINAZOJISAJILI KUSHIRIKI MASHINDANO HAYO IMEKUWA IKIONGEZEKA MWAKA HADI MWAKA.
Meridianbet Yawafikia Wanawake Wajane Magomeni
-
KATIKA kuendelea kutambua umuhimu wa jamii, Meridianbet leo hii iliamua
kufunga safari na kuwatembelea wanawake wajane wanaopatikana mtaa wa
Magomeni ...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.