Tupe maoni yako
DKT. MWIGULU AONGOZA KIKAO KAZI KUHUSU UJENZI WA MIRADI YA BARABARA ZA
HARAKA KWA UBIA WA MFUMO WA PPP
-
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 17, 2026 ameongoza kikao cha
kazi kuhusu ujenzi wa miradi ya barabara za haraka (Express Ways) kwa ubia
kup...
34 minutes ago
naona tu vioo vioo tunazidi kuja mwanza
ReplyDeletekazi njema.Jaribu kuitangaza blog yako kwa kina michuzi, mjengwa, florasalon,jamiiforums, jiachie, na kwingineko. Waambie blog yako inahusu habari za kila siku za kanda ya ziwa hususan jiji la mwanza utapata mashabiki kwani kuna watu wengi wa lake zone wanahitaji kujua habari za maendeleo katika mikoa yao, blog ikiwa na mashabiki wengi itakufanya upate wadhamini na kuweza kujiendesha kibiashara. Binafsi natamani kuwa na blogu lakini nataka ilipoti habari za mwanza, kinachonishinda niko mbali na mwanza hivyo si rahisi ku-update kwa habari za uhakika,
labda nikirudi nyumbani.
BMK