Tupe maoni yako
Washindi wa 'Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa waendelea kujishindia zawadi
-
Mmoja wa washindi wa droo ya kwanza ya Kampeni ya 'Ujanja ni Kuswipe na
Kadi ya Absa', Bi. Flora Obeto (kushoto), akipokea mfano wa hundi ya shs
milioni...
37 minutes ago
naona tu vioo vioo tunazidi kuja mwanza
ReplyDeletekazi njema.Jaribu kuitangaza blog yako kwa kina michuzi, mjengwa, florasalon,jamiiforums, jiachie, na kwingineko. Waambie blog yako inahusu habari za kila siku za kanda ya ziwa hususan jiji la mwanza utapata mashabiki kwani kuna watu wengi wa lake zone wanahitaji kujua habari za maendeleo katika mikoa yao, blog ikiwa na mashabiki wengi itakufanya upate wadhamini na kuweza kujiendesha kibiashara. Binafsi natamani kuwa na blogu lakini nataka ilipoti habari za mwanza, kinachonishinda niko mbali na mwanza hivyo si rahisi ku-update kwa habari za uhakika,
labda nikirudi nyumbani.
BMK