Tupe maoni yako
TAHA Kuandaa Maonesho ya Kimataifa ya Hortilogistica Africa 2026 jijini
Arusha
-
Na Mwandishi Wetu, Dodoma.
TAASISI kilele ya sekta binafsi inayoshughulika na tasnia ya horticulture
nchini TAHA, imewasilisha rasmi mpango wa kuandaa mao...
43 minutes ago
naona tu vioo vioo tunazidi kuja mwanza
ReplyDeletekazi njema.Jaribu kuitangaza blog yako kwa kina michuzi, mjengwa, florasalon,jamiiforums, jiachie, na kwingineko. Waambie blog yako inahusu habari za kila siku za kanda ya ziwa hususan jiji la mwanza utapata mashabiki kwani kuna watu wengi wa lake zone wanahitaji kujua habari za maendeleo katika mikoa yao, blog ikiwa na mashabiki wengi itakufanya upate wadhamini na kuweza kujiendesha kibiashara. Binafsi natamani kuwa na blogu lakini nataka ilipoti habari za mwanza, kinachonishinda niko mbali na mwanza hivyo si rahisi ku-update kwa habari za uhakika,
labda nikirudi nyumbani.
BMK