MABINGWA watetezi, Ivory Coast wameanza vyema Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 baada ya ushindi wa bao 1–0 dhidi ya Msumbiji katika mchezo wa Kundi F jioni ya leo Uwanja wa Marrakech Jijini Marrakech nchini Morocco.
![]() |
| 24 December 2025 – Marrakech – Grand Stade de Marrakech
Amad Diallo – Forward- Côte D’Ivoire |
Katika mchezo huo uliochezeshwa na refa Samuel Uwikunda wa Rwanda, bao pekee la The Elephants limefungwa na winga wa Manchester United, Amad Diallo dakika ya 49.
Tupe maoni yako


0 comments:
Post a Comment