ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, August 24, 2025

MAONESHO YA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI KUANZA AGOSTI 29, 2025 MWANZA

Maonesho ya Biashara ya Afrika Mashariki kuanza Ijumaa Agosti 29,2025 hadi Jumapili Septemba 07, 2025 katika uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza.

Maonesho hayo huandaliwa na Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) ambapo kwa mwaka huu ni ya 20 tangu kuanzishwa.

Mwenyekiti wa TCCIA Mkoa wa Mwanza, Gabriel Kenene amesema maonesho hayo yanatarajiwa kufunguliwa rasmi na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda.
Mwenyekiti wa TCCIA Mkoa wa Mwanza, Gabriel Kenene akitoa taarifa kuelekea Maonesho ya Biashara ya Afrika Mashariki kwa mwaka huu 2025.
Mwenyekiti wa TCCIA Mkoa wa Mwanza, Gabriel Kenene akitoa taarifa kuelekea Maonesho ya Biashara ya Afrika Mashariki kwa mwaka huu 2025.
Mwenyekiti wa TCCIA Mkoa wa Mwanza, Gabriel Kenene akitoa taarifa kwa wanahabari Ijumaa Agosti 22, 2025 kuelekea Maonesho ya Biashara ya Afrika Mashariki kwa mwaka huu 2025 yanayotarajiwa kuanza Ijumaa Agosti 29, 2025 uwanja wa Nyamagana.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment