NA ALBERT G.SENGO/MWANZA
Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza ndugu Balandya Elikana amewataka wajumbe wa kamati ya ulinzi wa wanawake na watoto (MTAKUWWA) mkoani humo kushirikiana na serikali kuhakikisha wanatambua na kuzitafutia ufumbuzi changamoto zinazokabili makundi hayo na kuwaondoa kwenye ukatili. Ndugu Balandya amesema hayo leo Agosti 13, 2025 wakati akizindua mafunzo ya siku tatu kwa kamati ya Mkoa ya kupinga na kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto NPA-VAWC 2024/25- 2028/29 II.Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment