ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, July 2, 2025

LISSU APINGA SHAURI KUAHIRISHWA TENA, AKUMBUSHIA KESI YA KINA BIBI TITI.

 Julai 01, 2025, kesi mbili zinazomkabili Tundu Lissu mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ziliendelea katika Mahakama ya Kisutu Dar es Salaam kesi hizo ni ile ya Uhaini na nyingine ya uchochezi ambazo zote zimesikilizwa katika mahakama hiyo.

Kesi ya kwanza iliyoanza ilikuwa ya uhaiani ambayo inamkabili Tundu Lissu na baadaye kesi ya uchochezi ikasikilizwa.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment