NA ALBERT G.SENGO/MWANZA
Ulinzi wa Taarifa Binafsi ni suala nyeti kutokana na kukua kwa sayansi na teknolojia kunakosababisha utoaji huduma nyingi kuhamia kwenye mifumo ya kielektroniki hivyo kulazimu kuanzishwa kwa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Namba 11 ya Mwaka 2022, Sura ya 44.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.