ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, April 1, 2025

TAASISI ZOTE MWANZA ZATAKIWA KUJISAJILI PDPC

 


NA ALBERT G.SENGO/MWANZA Ulinzi wa Taarifa Binafsi ni suala nyeti kutokana na kukua kwa sayansi na teknolojia kunakosababisha utoaji huduma nyingi kuhamia kwenye mifumo ya kielektroniki hivyo kulazimu kuanzishwa kwa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Namba 11 ya Mwaka 2022, Sura ya 44.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.