TIMU ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imechukua alama zote tatu dhidi ya wenyeji, Guinea katika dimba la Charles Konan Banny, Yamoussoukro Ivory Coast kwenye mchezo wa Kundi H.
Guinea 1-2 Tanzania
Bayo 57’
Feitoto 61’
Mudathir 88’
Stars imefikisha pointi 4 baada ya mechi mbili inasalia nafasi ya pili kwenye Kundi H alama mbili nyuma ya vinara DR Congo.
𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄: KUFUZU #AFCON 2025
Botswana
0-4 Egypt 
Gabon
2-0 Central African Republic 
Liberia
0-3 Algeria 
Namibia
1-2 Kenya 
Zimbabwe
0-0 Cameroon 
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.