ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, December 7, 2023

MBUNGE KOKA ASHUKA NA NEEMA YA SERIKALI AKABIDHI GARI HOSPITALI YA RUFAA TUMBI


VICTOR MASANGU/PWANI/TUMBI HOSPITALI teule ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani Tumbi iliyokuwa inakabiliwa na changamoto ya usafiri wa uhakika kwa watumishi wake hatimaye imepata msaada wa gari jipya ambalo limetolewa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa lengo la kuboresha sekta ya afya. Hayo yamebainishwa na Mganga mfawidhi wa hospitali ya Tumbi wakati wa halfa fupi ya kukabidhiwa gari hilo na mgeni rasmi Mbunge wa Jimbo la Kibaha mji Silvestry Koka kwa niaba ya serikali ikiwa ni utekelezaji wa ilani ya CCM kwa vitendo.  

Amani Malima ni Mganga Mfawidhi hospitali ya Rufaa ya Tumbi.

Benedicto Ngaiza Mganga Mkuu wa Mkoa wa Pwani. 

Silvester Koka ni Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini.

Robert Shilingi ni Mkurugenzi wa Shirika la Elimu Kibaha.

HOSPITALI teule ya rufaa ya Mkoa wa Pwani Tumbi iliyopo Wilayani Kibaha ilianzishwa mnamo mwaka 1967 ambapo kwa sasa inawahudumia wagonjwa zaidi ya 500 kwa siku kutoka maeneo mbali mbali.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.