VICTOR MASANGU/PWANI/TUMBI
HOSPITALI teule ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani Tumbi iliyokuwa inakabiliwa na changamoto ya usafiri wa uhakika kwa watumishi wake hatimaye imepata msaada wa gari jipya ambalo limetolewa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa lengo la kuboresha sekta ya afya.
Hayo yamebainishwa na Mganga mfawidhi wa hospitali ya Tumbi wakati wa halfa fupi ya kukabidhiwa gari hilo na mgeni rasmi Mbunge wa Jimbo la Kibaha mji Silvestry Koka kwa niaba ya serikali ikiwa ni utekelezaji wa ilani ya CCM kwa vitendo.
Amani Malima ni Mganga Mfawidhi hospitali ya Rufaa ya Tumbi.
Benedicto Ngaiza Mganga Mkuu wa Mkoa wa Pwani.
Silvester Koka ni Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini.
Robert Shilingi ni Mkurugenzi wa Shirika la Elimu Kibaha.
HOSPITALI teule ya rufaa ya Mkoa wa Pwani Tumbi iliyopo Wilayani Kibaha ilianzishwa mnamo mwaka 1967 ambapo kwa sasa inawahudumia wagonjwa zaidi ya 500 kwa siku kutoka maeneo mbali mbali.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment