ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, August 24, 2023

TANZIA: MKURUGENZI WA VIGIMARK HOTEL ABEL MAJIGE AFARIKI DUNIA

 

Mkurugenzi wa Vigimark Hotel Mjini Shinyanga Abel Majige amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Alhamisi Agosti 24,2023 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Aga Khan Nairobi nchini Kenya.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka katika familia, kesho jioni mwili utawasili uwanja wa ndege Mwanza na kwenda kuhifadhiwa Hospitali ya Kanda ya Bugando, Jumatatu mwili utafuatwa Bugando na kulala nyumbani Lubaga Shinyanga. 

Jumanne Ibada katika kanisa la A.I.C.T na mwili kusafirishwa kwenda Salawe kwa ajili ya mazishi siku ya Jumatano.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.