ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, May 12, 2023

KWA UNDANI JUU YA MVUA ZA EL NINO ZINAZOTARAJIWA KUNYESHA NCHINI.

 Hivi karibuni Mamlaka ya hali ya hewa nchini Tanzania (TMA) ilitoa taarifa juu ya uwepo wa kutokea kwa mvua za El Nino kwa asilimia 60.

Lakini je mpaka mvua hizi za El Nino kunyesha kuna viashiria gani na je athari ni zipi zinazoweza kujitokeza? Kwa upande wa Kanda ya Ziwa Mvua hizi zinazoendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo nizile zipo ndani ya msimu ama? na zitaendelea ama kuisha baada ya muda gani? Ikiwa tunashuhudia matukio ya vifo vinavyotoka na maji elimu elekezi inawafikiaje wahusika ikiwa ni pamoja na Wavuvi, nakwa njia ipi naje kuna gharama yoyote ya namna ya kupata taarifa za hali ya hewa lakini kuna tafadhali zozote na umuhimu wa kufatilia taarifa hizi MENEJA MAMLAKA YA HALI YA HEWA KANDA YA ZIWA AGUSTINO NDUGANDA ANAELEZA ZAIDI

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.