ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, March 8, 2023

TANZIA TANZIA


Klabu ya waandishi wa habari ya Mkoa wa Mwanza (MPC) inasikitika kutangaza kifo cha Mwanachama wake Richard Makore kilichotokea jana lwenye ajali ya gari (Min bus) iliyotokea Mkoani Geita.


Makore alikuwa anafanya kazi na Gazeti la Nipashe Mwanza na pia ni Mwanachama hai wa MPC.


Kwa sasa mwili wake upo kwenye chumba cha kuhifadhi Maiti hospitali ya Geita.


MPC inawaomba wanachama wake wote kuwa watulivu kwenye wakati huu mgumu kwetu.


Pia MPC inaendelea kuwajuza kila hatua ya inayoendelea.


Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihidimiwe.


 Edwin Soko 

 Mwenyekiti 

 MPC 

 8.03.2023








Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.