ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, March 30, 2023

NMB WAJA NA 'BONGE LA MPANGO MOTO ULE ULE'

 NA ALBERT G. SENGO/MWANZA

Msimu wa tatu wa Kampeni ya kuhamasisha utamaduni wa Kuweka akiba na benki ya NMB Bonge la Mpango umezinduliwa rasmi na mkuu wa Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza, Paula Chacha. Chacha amezindua kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Adam Malima, ambako zawadi zenye thamani ya shilingi milioni 180 zikiwemo pesa tasmlimu, bodaboda, pikipiki za mizigo za matairi matatu na vifaa vya nyumbani vuya kielektoniki zitatolewa katika kipindi cha wiki 12.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.