ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, March 11, 2022

MWANAFUNZI WA CHUO AKAMATWA AKIUZA MITIHANI

 


Mwanafunzi Oscar Brighton wa mwaka wa tatu katika chuo cha Zetech cha nchini Kenya, anashikiliwa kwa makosa ya kukutwa na mitihani feki ya shule za sekondari za nchini humo ambayo alikuwa akiiuza kwa watahiniwa.


Mbali na hayo kijana huyo pia amekutwa na makosa ya kuuza vyeti feki vya shule ya msingi na sekondari.


Katika mitihani aliyokuwa nayo alikuwa akiiuza kwa kiasi cha shilingi 1600 hadi 2600 za Kenya.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.