ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, January 1, 2020

MWANZA YAUKARIBISHA MWAKA KWA KUOMBEA AMANI UCHAGUZI MKUU 2020.



Askofu wa Kanisa la Tanzania Assemblis of God (TAG) Mwanza Isaac Mgwao amewaomba watanzania kuwanamoyo wa maombi kwaajili ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 kwa ajili ya nchi yetu. Akisoma Risala katika mkesha huo Mwenyekiti wa Umoja wa Makanisa Askofu Philipo Magwano amemwomba Mungu ili Taifa hili linapoingia kwenye uchaguzi Mkuu wa 2020 Mungu alisaidie ili chaguzi zote zifanyike katika misingi ya haki. Kwa upande wake mgeni rasmi katika mkesha huo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella amewaomba viongozi wa madhehebu ya dini kuhamasisha waumini wao kufanya kazi kwa bidii ili kuleta maendeleo kwa mtu mmoja mmoja pamoja na taifa kwa ujumla.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.