ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, December 2, 2019

'MAKUBWA' VIJANA WA KIUME WANAWAOMBA AKINAMAMA WAWALEE


 Mwenyekiti wa Baraza la watu wanaoishi na Ukimwi hapa nchini (NACOPHA), Leticia Kapela, amewataka vijana kujiepusha na ngono isiyo salama, sanjari na kuwaonya vijana wanaopenda kujihusisha kimapenzi na watu wazima hii ni kutokana na kuwepo kwa ongezeko kubwa la vijana wanaoishi na ugonjwa.

Hayo ameyabainisha Desemba 1, 2019, Jijini Mwanza, wakati wa kilele cha Maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani na kuwataka wanaume watu wazima, wanaowarubuni mabinti kuingia nao katika mahusiano ya kimapenzi waache tabia hiyo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.