ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, November 1, 2019

VITENDO VILIVYOKATAZWA WAKATI WA KAMPENI NA WAKATI WA UCHAGUZI


Rushwa, Kukutwa na silaha wakati wa kampeni, dhihaka, Kutoa lugha zisizokuwa na staha, uchochezi, Kuteremsha bendera ya chama kingine, Ukabila na Udini ni moja kati ya vitendo vinavyokatazwa kwa wanasiasa na vyama vya siasa ima Wakati wa Kampeni au Wakati wa Uchaguzi.

Hayo yamebainishwa na Mratibu wa Uchaguzi Serikali za Mitaa kwa mkoa wa Mwanza, bwana Matia Levi katika kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) ambapo pamoja na mambo mengine pia kikao hicho kilijadili uchaguzi Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika kote nchini Novemba 24 mwaka huu.

Aidha wadau wa vyama mbalimbali nao walipata fursa ya kuchangia mawazo.
Ukaguzi wa Maandalizi wilayani Sengerema.
Vifaa mbalimbali tayari kwa uchaguzi.
Vifaa mbalimbali tayari kwa uchaguzi
Vifaa mbalimbali tayari kwa uchaguzi

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.