Rais John Magufuli leo Novemba 3, 2019 amemteua Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kuchukua nafasi ya Prof Mussa Hassad ambaye muda wake unaisha kesho Novemba 4, 2019.
Kijiji ambacho kuoana mkiwa dini tofauti ni kifo
-
Mauaji ya wanandoa wa imani tofauti ya dini yameshtua kijiji kidogo katika
jimbo la Uttar Pradesh kaskazini mwa India ambapo wakazi wameishi kwa amani
kwa ...
0 comments:
Post a Comment