ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, October 25, 2019

YANGA WAMALIZA KUZINDIKA KIRUMBA


Kikosi cha Yanga leo kimefanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa CCM kuelekea mchezo wa kombe la Shirikisho dhidi ya Pyramids Fc ambao utapigwa keshokutwa Jumapili katika uwanja huo

Wachezaji wote waliokambini mkoani Mwanza walishiriki mazoezi hayo ya mwisho akiwemo mshambuliaji Sadney Urikhob ambaye jana alishindwa kumaliza mazoezi kutokana na kusumbuliwa na maumivu ya kifundo cha mguu
 Wapinzani wao Pyramids Fc ambao tayari wametua leo jijini Mwanza, kesho watautumia uwanja huo kwa mara ya kwanza



Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.